Bongo Movie wapata viongozi wapya. Steve Nyerere achaguliwa kuwa mwenyekiti
Katika uchaguzi huo viongozi wapya walichaguliwa ni;
Mwenyekiti. Steven Nyerere.
Makamu mwenyekiti : Mahsein awadhi "Dr cheni"
Katibu mkuu: William Mtitu
Katibu mkuu msaidizi : Devotha mbaga
Mtunza hazina: Issa musa “cloud"
Msaidizi wake ni: Cathy rupia
05.01.2014 - Tags:
Cathy rupia
Issa musa
Devotha mbaga
William Mtitu
Mahsein awadhi
Steven Nyerere.
0 maoni:
Post a Comment
to maoni n ushauri wako kuhusu post zetu