Slider

Ephonix Music Tz

Bongo Movie wapata viongozi wapya. Steve Nyerere achaguliwa kuwa mwenyekiti

Bongo Movie wapata viongozi wapya.  Steve Nyerere achaguliwa kuwa mwenyekiti
Kundi la Bongo movie unity limepata  uongozi mpya wa club hapa nchini hapo jana baada ya kufanyika kwa uchaguzi wake kwenye viwanja vya leaders kinondoni jijini Dar es Salaam.

Katika uchaguzi huo viongozi wapya walichaguliwa ni;

Mwenyekiti.  Steven Nyerere.

Makamu mwenyekiti : Mahsein awadhi "Dr cheni"

Katibu mkuu:  William Mtitu

Katibu mkuu msaidizi : Devotha mbaga 

Mtunza hazina: Issa musa “cloud"

 Msaidizi wake ni:  Cathy rupia

05.01.2014 -  Tags:  Cathy rupia  Issa musa  Devotha mbaga  William Mtitu  Mahsein awadhi   Steven Nyerere. 

Related news:

Share on Google Plus

About Chill Axy Beatz

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment

to maoni n ushauri wako kuhusu post zetu