Slider

Ephonix Music Tz

Tuzo za Kora: Wiki ya 14, Diamond asogea mpaka nafasi ya 3 toka nafasi ya 14


kuelekea katika tuzo za Kora Africa mashabiki wamepewa nafasi ya kuchagua wasanii wanaowakubali Africa kwa kuwapigia kura kwa kuandika jina la msanii wanaemkubali. wiki ya 14 hivi sasa Diamond amefanikiwa kutoka katika nafasi ya 14 mpaka nafasi ya 3 wiki hii.
kupitia ukurasa wao wa facebook, Kora Awards, wametoa nafasi kwa mashabiki kuchagua best artist kutoka mashariki, kati,magharibi, kusini na kaskazini mwa Africa kabla ya kuja na list kamili ya wasanii wakali wiki hiyo ya tuzo.

Kwa wiki hii  ya 14,Diamond Platnumz amemkalisha Amani kutoka Kenya pamoja na Kidumu kuwakilisha Africa ya mashariki. Diamond amesogea kutoka nafasi ya 14 wiki iliyopita mpaka nafasi ya 3 wiki hii. 
Kupitia mtandao wa instagram, Diamond ameandika hiki kwa mashabiki wake
KORA Awards zinafanyika kila mwaka kwa wanaofanya vizuri katika game ya muziki sub-Saharan Africa. Mwaka huu zinatarajiwa kufanyika (ingawa hazijatoaka taarifa za mwisho)Benin, Cote d'Ivoire, Ethiopia na South Africa zimetajwa ku-host tuzo hizo.
Share on Google Plus

About Chill Axy Beatz

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment

to maoni n ushauri wako kuhusu post zetu