Slider

Ephonix Music Tz

Bif ya Diamond na Q Chief yaisha: Diamond ampa ofa ya AUDIO na VIDEO

kama ni mfatiliaji mzuri wa muziki na wasanii wetu utakumbuka kuwepo kwa bif kubwa kati ya Diamond na mkongwe Q chief baada ya Q kudai kuwa Diamond anatembelea nyota yake (anamloga).

 Good news ni kwamba bif hilo limekwisha na Diamond amempa ofa ya kumlipia Q chief audio pamoja na video ili atusue maana ni msanii ambae anaemkubali.
 "Q Chief namkubali sana, anajua sana kuimba, ana miziki ambayo watanzania wanaipenda sana lakini sifaham tatizo ni nini siwezi kujaji, lakini
sikuzote natamani, kuna kipindi lani nishawahi nilikua nipo na prof jay nakumbuka nilikuwa niko uingereza nikamwambia ukikutana nae zungumza nae mwambie mi ntamlipia video na audio akashoot akafanye ngoma ambayo naamini atatusua, lakini bahati mbaya sijui ikawaje kawaje ikaishia hivyo.Ni mtu ambae natamanigi nisikie ngoma zake kila dakika...." amesema Diamond
 
Share on Google Plus

About Chill Axy Beatz

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment

to maoni n ushauri wako kuhusu post zetu