Huenda na wewe uliwahi kusikia kuwa msanii Joslin na Mr Blue hawaelewani.. 255 ikaanza kwa kumtafuta Joslin
ambae amesema hawajawahi kuwa na tofauti ila kwa sababu walitoka wote
kwa wakati mmoja na wote wakawa wanafanya vizuri watu wakazusha story
ya namna hiyo.
Joslin amesema mara nyingi
walishafikiria kufanya collabo lakini majukumu yamefanya kuwe na ugumu
hilo kutimia, lakini anaamini kuwa ikitokea wakakutana studio lazima
wafanye collabo.
Shamsa ana jibu hili.. Hizo picha ni za movie mpya inayoitwa ‘Manyaunyau’
ambayo iko kwenye hatua za mwisho, picha hiyo ilikuwa ni kwa ajili ya
promo ya movie hiyo lakini hawana uhusiano wowote.. wao ni marafiki na
wanaheshimiana.
Shamsa amesema kaachana na mume wake toka mwaka jana, ila kwa sasa yuko karibu na Nay kwa mambo ya kazi.
Bonyeza play kusikiliza story zote za 255 ya leo…

0 maoni:
Post a Comment
to maoni n ushauri wako kuhusu post zetu