Slider

Ephonix Music Tz

Video | Diamond Platnumz katika mpango wa kufanya Album ambayo ndani yake kutakuwa na nyimbo aliyofanya na P square

Diamond Platnumz ameamua kujitosa katika kutengeneza Album ambayo ndani ipo ngoma ambayo kafanya na P Square ambayo haijatoka.

Alipokua akifanya Interview na kipindi cha “My music & I” cha SoundCity ya Nigeria  Diamondamesema kuwa katika album hiyo kutakuwa na nyimbo kama Nasema nawe,Number one, Number Rmx, Bum Bum, Nitampata wapi na Nana ni baadhi ya nyimbo zitakazo kuwepo kwenye Album hiyo pia alisema collabo yake na Psquare ni moja ya nyimbo zitakazo kuwepo kwenye Album hiyo.


 Cheki Hii Video

Share on Google Plus

About Chill Axy Beatz

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment

to maoni n ushauri wako kuhusu post zetu