“Yupo China anasoma, lakini tupo poa kabisa,” alisema. Amenisupport kinoma yaani, kwa sababu bila Jux nisingeweza kufanya hiyo video, katika inspiration, motivation pamoja na kuwepo pale, alikuwepo kila siku wakati n-shoot, sitakaa nimwachie Jux,” alisisitiza Vanessa.
Vanessa adai bila Jux asingeweza kufanya video ‘Never Ever’
“Yupo China anasoma, lakini tupo poa kabisa,” alisema. Amenisupport kinoma yaani, kwa sababu bila Jux nisingeweza kufanya hiyo video, katika inspiration, motivation pamoja na kuwepo pale, alikuwepo kila siku wakati n-shoot, sitakaa nimwachie Jux,” alisisitiza Vanessa.

0 maoni:
Post a Comment
to maoni n ushauri wako kuhusu post zetu