Slider

Ephonix Music Tz

Hizi ndio headlines mpya anazoweka Chris Brown sasa hivi!! (Pichaz)



cccb
Kama wengi tunavyojua mkali wa RnB Marekani Chris Brown ni baba mwenye mtoto mzuri wa kike aliempa jina la Royalty. Lakini Chris bwana amekua akitengeneza headlines zinazo wateka watu wengi kwenye Instagram baada ya kua ana post picha tofauti za yeye na mtoto wake pamoja.
Sawa, Chris Brown anaweza asiwe mtu mzuri sana kwenye mahusiano ya kimapenzi lakini utakubaliana na mimi kua jamaa anajitahidi kua baba bora kwa mtoto wake wa kike ambaye hivi juzi ametimiza mwaka mmoja. Emu zicheki hizi picha hapa chini mtu wangu ujione jinsi gani Chris anavyo onyesha upendo kwa mtoto wake wa kike Royalty, hadi raha yani! Yani kuanzia birthday ya mwanae, zawadi anazomletea, sehemu wanazoenda wote na hata wakiwa wamechill tu, zote hizi Chris anazitupia Instagram na kusababisha headlines mpya kwenye jina lake!
Wababa wanganpi uanowajua wana upendo huu watu wangu!?
Share on Google Plus

About Chill Axy Beatz

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment

to maoni n ushauri wako kuhusu post zetu