Kama tunavyojua Kikundi bora cha mwaka kwenye tuzo za KTMA2015 Yamoto Band
kipo nchini South Afrika kwa ajili ya kushoot video yao mpya ya nyimbo
ijulikanayo kama Cheza Kimadoido ambayo inaongozwa na Director maarufu
ajulikane kama GodFather.
Zifuatazo ni baadhi ya picha za maandalizi ya video hiyo...
0 maoni:
Post a Comment
to maoni n ushauri wako kuhusu post zetu